1 Samuel 22:6

Sauli Awaua Makuhani Wa Nobu

6 aBasi Sauli akasikia kwamba Daudi na watu wake wameonekana. Sauli akiwa na mkuki mkononi, alikuwa ameketi chini ya mti wa mkwaju kwenye kilima huko Gibea, maafisa wake wote wakiwa wamesimama kumzunguka.
Copyright information for SwhNEN